Tuesday 8 December 2015

JE MSANII KIGOTO YUKO WAPI?..JE KUNA UGOMVI WOWOTE KATI YAKE NA TK2 MSIKILIZE HAPA AKITIRIRIKA

Ni mmoja kati ya wasanii wenye vipaji vya hali ya juu na amewahi kuvuma kwa vibao kama vile kichapo cha mapenzi,ridhika vumilia,Napenda vizuri miongoni mwa ngoma nyingi kali zenye ubora wa hali ya juu saana katika upande wa utunzi,ushairi na sauti ya kipekee ambayo imemuwezesha kujizolea mashabiki wengi kwa kipindi cha mda mfupi.Kwa kipindi cha mda sasa Kigoto amekua kimya kiasi tangu aachilie kibao chake cha napenda vizuri na mashabiki wengi wamekua wakijiuliza yuko wapi?Je kuna ugomvi kati yake na producer TK2? Je ni lini anaachilia kibao kipya?Sababu ya kukaa kimya ni ipi?...Huyu hapa kigoto msikilize akizungumzia mipango yake ikiwemo projects alizoziandaa,Management yake mpya pamoja na kuweka wazi uhusiano wake na producer wake Hit maker TK2.
 http://www.audiomack.com/song/mtubei-media/kigoto-azungumzia-mipango-yake-pamoja-na-uhusiano-wake-na-tk2
BONYEZA HAPA KUMSIKILIZA KIGOTO