Wednesday 10 October 2012

K LYN AJIFUNGUA MAPACHA WA KIUME

Mrembo aliyewahi kuwa miss Tanzania Jackline ntuyabaliwe maarufu kama K lyn ambaye pia aliwahi kuvuma katika mziki wa Bongo fleva na vibao vikali amejifungua.Msanii huyo ambaye katika siku za hivi majuzi aliingia chimbo na kumpotea katika vyombo vya habari amejifungua mapacha wa kiume.K lyn ashawahi fanya collabo na wasanii kama vile Noorah,jay mo,squeeezer,bushoke na mr blue..

No comments:

Post a Comment