Thursday 4 October 2012

JAMAA MMOJA HUKO CARLIFORNIA ACHEMSHA MAITI YA MKEWE KWA SIKU NNE

Koti moja huko california imempata na hatia  jamaa mmoja kwa jina la David Viens kwa kosa la kuichemsha maiti ya mkewe kwa siku nne na kuitupa ili kuficha ushahidi wa mauaji.Inasemekana viens alishtakiwa na kosa hilo ambalo alikiri wazi kotini kuhusika .Kulingana viens ni kuwa siku ya tukio alikuja nyumbani akakuta kuna fedha zake zimepotea hivyo basi akaanza kumkaripia mkewe huku akidai kuwa amregeshee fedha hizo akidai kuwa yeye ndio kaziiba.ni katika ugomvi huo ndio mkewe alikumbana na kifo chake.Ili kuharibu ushahidi,viens aliona cha kufanya ni kuuchemsha mwili wa mkewe alafu baadaye akaujumuisha na takataka zingine na kuutupa kama takataka

No comments:

Post a Comment