Monday 24 September 2012

AVRIL ASHINDWA KUFANYA COLLABO NA A.T

huyu binti kwa jina la AVRIL kashindwa kufanya kolabo na AT msanii kutoka zanziba kisa ameshindwa kuimba style ya mduara ambayo kwa saana AT anaitumia.....duuuh ikabidi safari ya AT kutoka tanzania kuingia kenya kwa lengo la kufanya collabo na avril ikaingia doa na ikambidi AT kumtafuta mtu mwingine kufanya naye kolabo hiyo

No comments:

Post a Comment