Tuesday 25 September 2012

VICTOR WANYAMA"NAFURAHI SAANA KUICHEZEA CELTIC"

Baada ya vilabu kadhaa kutoka uingereza kummezea mate,kiungo wa kati wa klabu ya celtic victor wanyama kwa sasa ametoa kauli yake na kusema kuwa kwa sasa anazingatia kwa saana mkataba alionao kwa sasa na klabu hiyo.kulingana na kauli ya yake namnukuu“I leave things like a contract to the club and my agent but I am really happy here and looking forward to staying for many years,” says Wanyama

No comments:

Post a Comment