Sunday 19 July 2015

SABABU ZA ELIANO MTALIANO KUJITOSA KWENYE ULINGO WA SIASA

Ukiwa ni mwaka wa uchaguzi Tanzania,kumetokea wasanii wengi wa mziki wa kizazi kipya pamoja na waigizaji kujitokeza na kutumia umaarufu walionao  kugombea nyadhifa mbali mbali za kisiasa inchini Tanzania.Wasanii hawa ni kama vile a Prof Jay,Keisha pamoja na waigizaji steve nyerere na wema sepetu.
Inaonekana hali kama hii huenda ikadhihirika wazi hapa pwani kwani ikiwa ni mapema saana msanii wa injili kutoka hapa pwani anayekwenda kwa jina mtaliano eliano amejitokeza na kuweka wazi azma yake ya kuingia kwenye siasa mwaka wa 2017....huyu hapa msikilize akizungumzia ngazi ya kiti atakachogombea,eneo analopania kusimamia pamoja na sababu zake za kujitosa kwenye siasa.

No comments:

Post a Comment